Tarehe iliyowekwa: June 25th, 2021
Ni maneno yaliyozungumzwa wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe ikiongozwa na Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi Wilaya Ndg. Edward Mgaya, ambapo imepongeza kasi na umakini uliopo katika kut...
Tarehe iliyowekwa: June 18th, 2021
Ni mapendekezo yaliyotolewa katika Baraza Maalumu la kujadili hoja za mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali CAG katika Halmashauri ya Mji Njombe ambapo kwa mwaka 2019/2020 kiasi cha Shilingi Milio...
Tarehe iliyowekwa: June 16th, 2021
Halmashauri ya Mji Njombe imetoa kiasi cha shilingi milioni 4 kwa Shule 8, Sekondari Shule 4 na Msingi 4 ikiwa ni sehemu ya motisha kwa ufaulu mzuri katika mitihani ya Kitaifa ya kidato cha nne na cha...