Tarehe iliyowekwa: October 3rd, 2023
Mkuu wa Wilaya Njombe Mhe Kissa Kasongwa amewataka wananchi hasa wanaume wa kutokimbia majukumu ya malezi kwa mtoto pamoja na kuachana na mila potofu kwa wanawake kuto kula mayai wakidai atapata shida...
Tarehe iliyowekwa: September 29th, 2023
Na Ichikael Malisa
Mradi wa kizazi hodari kanda ya kusini Septemba 29,2023 umefanya uzinduzi wa jukwaa la wadau wa ustawi wa mtoto mkoa wa njombe.
Mradi wa kizazi hodari kanda ya kusini ni...
Tarehe iliyowekwa: September 29th, 2023
Na Ichikael Malisa.
Serikali imeagiza Mikoa yote ya Nyanda za juu kusini kuhakikisha inaainisha na kutangaza maeneo ya utalii sambamba na fursa za uwekezaji zinazopatikana ndani ya mikoa hiyo ili k...