Tarehe iliyowekwa: July 20th, 2023
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Philip Mpango ametoa msisitizo kwa wakulima wa zao la parachichi mkoani Njombe kuuza parachichi zilizo komaa.
Mhe Dkt Mpango ametoa msisit...
Tarehe iliyowekwa: July 17th, 2023
Halmashauriya Mji Njombe imeendelea kupiga hatua kufikia malengo ya kutokomeza udumavu Mkoani Njombe.
Akiwasilisha taarifa ya Tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa lishe katika Halmashauri ya Mji N...
Tarehe iliyowekwa: July 3rd, 2023
Wanawake wajasiriamali Halmashauri ya mji njombe wametakiwa kuendelea kushirikiana na kuwezeshana ili kutimiza ndoto zao .
Kauli hiyo imetolewa July 03 ,2023 na Makamu mwenyekiti wa Umoja wa ...