Tarehe iliyowekwa: July 2nd, 2023
Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana July 02,2023 amefanya ziara kwenye Eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa michezo mkoani Njombe.
...
Tarehe iliyowekwa: June 28th, 2023
Katibu tawala wilaya ya Njombe Agatha Mhaiki Juni 27,2023 akiwa na kamati ya ulinzi na usalama wilaya pamoja na wataalamu wa halmashauri ya mji Njombe amefanya ziara kukagua maendeleo ya utekelezaji w...
Tarehe iliyowekwa: June 22nd, 2023
Wananchi wa Mtaa wa Idundilanga kata ya Njombe mjini halmashauri ya mji Njombe, wamepatiwa elimu ya lishe bora kwa watoto ili kuepukana na udumavu na utapiamlo ambao umekuwa changamoto Mkoni Njo...