Tarehe iliyowekwa: May 24th, 2021
Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe katika Halmashauri, mratibu wa lishe Halmashauri ya Mji Njombe Marselina Mtitu amesema kuwa kwa kipindi cha robo ya tatu Januari – ...
Tarehe iliyowekwa: April 29th, 2021
Wakizungumza katika Mkutano wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani wakati wa kujadili taarifa ya Kamati Mipangomiji na Mazingira Madiwani Halmashauri ya Mji Njombe wameipongeza kamati hiyo kwa hatua walioc...
Tarehe iliyowekwa: April 26th, 2021
Wananchi wa Kijiji Cha Luponde Kata ya Luponde Halmashauri ya Mji Njombe wamefurahishwa na uzinduzi wa zahanati mpya ya Luponde katika Kijiji hicho ambapo kwa takribani miaka 45 kijiji hicho kukosa Za...