Tarehe iliyowekwa: August 18th, 2023
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mhe Erasto Mpete Agosti 16,2023 amezungumza na wadau pamoja na watumiaji wa stendi kuu ya Mabasi Njombe nakutoa msisitizo wa utunzaji wa miundombinu ambay...
Tarehe iliyowekwa: August 12th, 2023
Wastaafu wameshauriwa kutumia muda wao vizuri katika kufanya kazi ambazo zitawaingizia kipato ili kuepukana na umaskini.
Rai hiyo imetolewa Agosti 11, 2023 na Mkurugenzi wa ...
Tarehe iliyowekwa: August 11th, 2023
Wananchi wa Mtaa wa Mgodechi uliopo kata ya Ramadhani Halmashauri ya Mji Njombe wamepatiwa elimu ya juu ya kupanga ,kupima na kumilikisha ardhi.
Elimu hiyo imetolewa na kaimu mkuu...